You Can Also Visit Our Countries Website:
History

Exact Search

Listing 5000+ Islamic books in more than 30 languages. Read online or download in PDF.

Siyah Faam Ghulam | Mtumwa Mweusi

book_icon
Mtumwa Mweusi

·         Kupeana mikono huondoa uadui.

·         Mtume mtukufu صَلَّى اللهُ تَعَالٰى عَلَيْهِ وَاٰلِهٖ وَسَلَّم anasema, ‘Muislamu yeyote anaemsalimia mwenzake kwa kumpa mkono na pakawa hakuna hata mmoja anahisi uadui na mwenzake, Allah عَزَّوَجَلَّ atawasamehe madhambi yao wote wawili kabla ya mikono yao kuachana na yeyote anaemuangalia muislamu mwenzake kwa upendo na akawa hana uadui basi madhambi yao yaliopita yatafutwa kabla ya macho yao hayajaachana. (Kanz-ul-'Ummal, Juz. 9, uk. 57)

·         Mtu anaweza kupeana mikono na mwenzake kila wakikutana

·         Sio Sunna kupeana mikono kwa mkono mmoja. Sunna ni kwa mikono miwili.

·         Baadhi ya watu hupeana mikono kwa kupeana vidole tu;
jambo hili si katika Sunna.

·         Ni makuruhu mtu kubusu mkono wake mwenyewe. Walio na tabia ya kubusu mikono yao wenyewe baada ya kupeana mikono wajaribu kuepuka tabia hiyo. (Bahar-e-Shari'at, Juz. 16, uk. 115Mulakhkhasan)

·         Kama kupeana mikono na Amrad (mwanamume  anaevutia) kunasababisha matamanio basi hairuhusiwi kupeana nae mikono. Bali ikiwa kuangaliana nako

BOOK TOPIC

BOOK TOPIC

Sirat-ul-Jinan

SIRAT UL JINAN

MOBILE APPLICATION

Marfatul Quran

MARIFATUL QURAN

MOBILE APPLICATION

Faizan-e-Hadees

FAIZAN-E-HADEES

MOBILE APPLICATION

Prayer Time

PRAYER TIME

MOBILE APPLICATION

Read and Listen

READ AND LISTEN

MOBILE APPLICATION

Islamic EBooks

ISLAMIC EBOOKS

MOBILE APPLICATION

Naat Collection

NAAT COLLECTION

MOBILE APPLICATION

Bahar-e-Shariyat

BAHAR E SHARIYAT

MOBILE APPLICATION