Listing 5000+ Islamic books in more than 30 languages. Read online or download in PDF.
watoto wadogo wa Massayyid, kiasi kwamba alikuwa anawabeba na kuzunguka nao na kuwa nunulia pipi ama tamu tamu.
Mpenzi huyu alifariki, maiti ilifunikwa shuka
watuwalikusanyika, ghafla Mpenzi huyu aliondoa shuka na kukaa, watu wakawa na hofu na kushangaa huku wakianza kukimbia, yeye akawaita kwa sauti kubwa na kusema : Msiogope hebu nisikilizeni kwanza! Watu walipofika karibu yeye akasema ninawaambieni neno yenyewe ni hivi, sasahivi Murshid[1] wangu, Sheikh 'Abd-ul-Qadir Jilani aliniamsha kwa kunipiga teke na kusema: «Muridi wangu huwezi kufa bila ya kutubu, amka utubu » اَلْـحَمْـدُ لـِلّٰـه عَزَّوَجَلَّ roho yangu ilirudi ili niweze kutubu baada kusema hayo Mpenzi alitubu madhambi zake na kutamka Kalima.Na kisha ghafla kichwa chake kilielemea upande moja na kufariki
Hongereni wafuasi na wapenzi wa Ghaus-e-A'zam kwa sababu Sultani wa Baghdad رَحْمَةُ اللهِ تَعَالٰی عَلَيْه amesema, ‘kwa mfuasi wangu, hata awe ametenda madhambi kiasi gani, basi hata fariki mpaka afanye toba.’ (Bahjat-ul-Asrar, uk. 191)
Sheikh Umar Bazar رَحْمَةُ اللهِ تَعَالٰی عَلَيْه amesema, ‘‘Safari moja siku ya Ijumaa nilikuwa ninaelekea katika msikiti wa ijumaa pamoja
BOOK TOPIC
BOOK TOPIC