Listing 5000+ Islamic books in more than 30 languages. Read online or download in PDF.
ilhali wame elekea Qiblah. Ndio maana, Sheikh Hafidh Sakhāwī رَحْمَةُ اللهِ تَعَالٰی عَلَيْه amesema, ‘Sababu moja wapo kwamba kwanini Mtume صَلَّى اللهُ تَعَالٰى عَلَيْهِ وَاٰلِهٖ وَسَلَّم alikuwa akiuelekeza mgongo wake Qiblah, ilikuwa ni kuwaruhusu masahaba waelekee Qiblah. (Al-Maqasid-ul-hasanah, uk. 88)
Sayyidunā 'Abdullah bin Umar رَضِىَ اللهُ تَعَالٰی عَـنْهُ kila mara alikuwa ana elekea Qiblah. (Al Adab al Mufrad, 291 pp., Hadis 1137)
Wakati wa kufundisha Qur’an Tukufu na walimu wenyekufundisha Dars-e-Nizami wakatiwakusomesha wanuie sunnah na waelekeze migongo yao Qibla Ili wanafunzi nyuso zao ziwezekuelekea Qibla, na mwalimu itambidi awafundishe wanafunzi sunnah ya kukaa kwakuelekea Qibla na awemwenye haki ya kupata thawabu.
Wanafunzi wanapaswa kukaa kuelekea Qibla na kumwangalia Ustadh pindi anaposomesha iliuweze kusikia vizuri na kuelewa waweze kumuona Ustadh la sivyo masomo yatakupita.
Ni sunna kwa Khatib wakati wa kutoa khutba ilhali auelekeze mgongo wake Qibala ili wale wanaomsikiliza wamuelekee yeye khatib na hiyo ndiyo Mustahab.
Wakati ukiwa unaisoma Qur'an Tukufu, kusoma vitabu vya dini, au kuandika Fatwa, na kuandaa vitabu, kuombadua, kufanya Zikr, ukiwa unamswalia Mtume صَلَّى اللهُ تَعَالٰى عَلَيْهِ وَاٰلِهٖ وَسَلَّم, wakati wowote ukiwa umekaa chini au umesimama, kama
BOOK TOPIC
BOOK TOPIC